notícias musicais

top 13 artistas

top 13 musicas

Confira a Letra Nimezama (feat. Zuchu)

D Voice

Nimezama (feat. Zuchu)

Hhm, habibi nikuulize swali, kipi cha kukuongeza
Kama unaona bado sema kilichopungua
Vingine vyote tayari madeko kunidekeza
Umeniwezea haapo chali mi ushaniuwa
Penzi lako mradi naweza kulikopea
Mamlaka yenye kodi watudai na fidia

Ah! Maana raha zimezidi paka zanimwagikia
Hmm! Maana raha zimezidi paka zanimwagikia

Ufukweni
Ufukweni mwa bahari (ah! Mikono)
Mikono tumeshikana (ah! Mawimbi)
Mawimbi yameshamiri (Nyoyo zime!)
Nyoyo zimesemezana

Kwako nimezama
Kwako nimezama
Kwako nimezama
Kwako nimezama

Aah! Upande kanga ukinivalia
Kiunoni shanga zinachungulia
Ndo ugonjwa wangu, ndo ugonjwa, wa ah!
Wala siendi kwa mganga wakaniibia
Mama nyakanga nimemrithia
Sio shida zangu, sio shida zaa
Na ah! Huba lako biriani
Lenye shombo shombo ya mbuzi
Aiy napenda unavyonisifu laini
Ah! Nafaa kwa matumizi

Ufukweni
Ufukweni mwa bahari (ah! Mikono)
Mikono tumeshikana (ah! Mawimbi)
Mawimbi yameshamiri (Nyoyo zime!)
Nyoyo zimesemezana

Kwako nimezama (kwako nimera niko rarara)
Kwako nimezama (kwako nime nimezaama)
Kwako nimezama (oh nimezaa nimezaama)
Kwako nimezama (kwako nime eeeh eeh zama)

Hili penzi limemshindwa shetwani mkaa kichwani
Mtaliweza nyinyi wapambe wakaa vibarazani
Hili penzi limemshindwa shetani mkaa kichwani
Mtaliweza nyinyi wapambe wakaa vibarazani

Tracker